Miaka hii yakaribuni tambi zimekua chakula cha kawaida kwa waafrika wengi.
Kuna tambi za aina mbalimbali ,zenye ladha na maumbo tofauti.Upishi wake nao watofauti kutokana na aina ya tambi.Unaweza andaa tambi kama chakula kikuu ,kama salad ,au kama kitafunwa,hutokana tu na aina ya tambi utakayochagua na jinsi utakavyoiandaa.
Mahitaji
- Tambi paketi 1 -zenye umbo la spiringi
- Jibini kavu kikombe 1:Sugua kwa sugulio la karoti (shred)
- pilipili hoho zakijani 3 kubwa-kata vipande vinene kwa urefu
- Pilipili hoho nyekundu Moj:kata vipande vinene kwa urefu kisha gawanya kila kipande mara mbili
- Giligiliani kavu kijiko 1 cha chakula :saga mbegu kavu za giligiliani
1.chemsha maji mengi adi yatokote (lita mbili).ongeza tambi,acha zichemke adi ziiive .
- Usiache ziwe rojo hazitapendeza
- Usiongeze kitu chochote kwenye pilipili hoho
- Chuja maji mara tu tambi zikiiva,usiache zipoe wala kupoteza joto
Saladi tayari kwa kula.Unaweza kula salad hii na vyakula vingine au ukaifanya sehem kuu ya mlo wako.Ni vyema kujua kwamba saladi si lazima ziwe mboga za majani peke yake,yaweza kua mchanganyiko wa mboga za majani na vyakula vingine kama ilivyo salad hii.
0 comments:
Post a Comment