Ukimshika au ukimgusa popote basi unamtaka kimwili
Kama nguo zako mkanda wa suruali na viatu havi machi basi pia moja kwa moja hujielewi na hujawahi kuwa na mwanamke
Usipomtazama machoni hujiamini na inaonekana wewe ni muongo
kazi kwako mwanaumeee.....
0 comments:
Post a Comment